Antofagasta
From Wikipedia, the free encyclopedia
Antofagasta ni jina la mji mkuu wa mkoa wa Antofagasta katika Chile. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2002, mji una wakazi wapatao 300,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 40 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Antofagasta | |
Majiranukta: 23°39′00″S 70°24′00″W | |
Nchi | Chile |
---|---|
Mkoa | Antofagasta |
Wilaya | Antofagasta |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 296,905 |
Tovuti: municipalidaddeantofagasta.cl |
Funga