Denver, Colorado
From Wikipedia, the free encyclopedia
Denver ndiyo mji mkuu katika jimbo la Colorado. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2008, mji una wakazi wapatao milioni 2.5 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 1609 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Jiji la Denver | |||
| |||
Mahali pa mji wa Denver katika Marekani |
|||
Majiranukta: 39°44′21″N 104°59′05″W | |||
Nchi | Marekani | ||
---|---|---|---|
Jimbo | Colorado | ||
Wilaya | Denver | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 598,707 | ||
Tovuti: www.DenverGov.org |
Funga