Eisleben
From Wikipedia, the free encyclopedia
Eisleben ni mji katika jimbo la Saksonia-Anhalt nchini Ujerumani. Mji huu ni mashuhuri kama mahali pa kuzaliwa kwa Martin Luther na kwa hiyo jina rasmi ni Lutherstadt Eisleben (Eisleben Mji wa Luther). Mnamo mwaka 2015 Eisleben ilikuwa na wakazi 24,198.