Kastilia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kastilia (kwa Kihispania: Castilla, tamka kas-til-ya; kwa Kiingereza Castille) ni eneo kubwa katikati ya Rasi ya Iberia na nchi ya Hispania.
Kihistoria Ufalme wa Kastilia ulikuwa chanzo muhimu cha Hispania ya baadaye.
Leo hii imegawiwa katika majimbo ya Kastilia-León, Madrid na Kastilia-La Mancha.