Afghanistan
From Wikipedia, the free encyclopedia
Afghanistan ( افغانستان, pia: Afuganistani) ni nchi ya bara la Asia. Inapakana na nchi za Pakistan, Uajemi, Turkmenistan, Usbekistan, Tajikistan na China.
Ukweli wa haraka
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: hakuna | |||||
Wimbo wa taifa: Soroud-e-Melli | |||||
Mji mkuu | Kabul 34°31′ N 69°08′ E | ||||
Mji mkubwa nchini | Kabul | ||||
Lugha rasmi | KiPashto, KiFarsi | ||||
Serikali Rais Kiongozi wa serikali |
Jamhuri ya Kiislamu Ashraf Ghani Abdullah Abdullah | ||||
Uhuru Tarehe |
Kutoka Uingereza 19 Agosti 1919 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
652,864 km² (41) N/A | ||||
Idadi ya watu - 2015 kadirio - 1979 sensa - Msongamano wa watu |
32,564,342 (40th) 13,051,358 43.5/km² (150th) | ||||
Fedha | Afghani (Af) (AFN ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC+4:30) (UTC+4:30) | ||||
Intaneti TLD | .af | ||||
Kodi ya simu | +93
- |
Funga
Ni nchi ya milima mirefu mingi inayofunika 3/4 za uso wake. Kutokana na tabia ya nchi wakazi wengi huishi katika jumuiya za kikabila.