Bad Vilbel
From Wikipedia, the free encyclopedia
Bad Vilbel ni mji wa Hesse nchini Ujerumani. Idadi ya wakazi wake ni takriban 31.637. Umbali na Jiji la Frankfurt am Main ni 15 km.
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Bad Vilbel | |||
| |||
Nchi | Ujerumani | ||
---|---|---|---|
Jimbo | Hesse | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 31.637 | ||
Tovuti: www.badvilbel.de |
Funga