César Azpilicueta
Mchezaji wa soka wa Hispania / From Wikipedia, the free encyclopedia
César Azpilicueta Tanco (matamshi ya Kihispania: [θesaɾ aθpilikweta taŋko]; alizaliwa tarehe 28 Agosti 1989) ni mchezaji wa soka wa Hispania ambaye anacheza klabu ya Chelsea na timu ya taifa ya Hispania.
Ukweli wa haraka Jinsia, Nchi ya uraia ...
César Azpilicueta
Jinsia | mume |
---|---|
Nchi ya uraia | Hispania |
Nchi anayoitumikia | Hispania |
Jina katika lugha mama | César Azpilicueta |
Jina la kuzaliwa | César Azpilicueta Tanco |
Jina halisi | César |
Jina la familia | Azpilicueta |
Tarehe ya Kuzaliwa | 28 Agosti 1989 |
Mahali alipozaliwa | Zizur Mayor/Zizur Nagusia |
Lugha ya asili | Kihispania |
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihi | Kihispania |
Kazi | association football player |
Nafasi anayocheza kwenye timu | fullback, centre back |
Muda wa kazi | 26 Agosti 2007 |
Mwanachama wa timu ya michezo | Atlético Madrid |
Mchezo | Mpira wa miguu |
Footedness | right-footedness |
Namba ya Mchezaji | 3 |
Ameshiriki | 2012 Summer Olympics, 2014 FIFA World Cup, UEFA Euro 2016, Kombe la Dunia la FIFA 2018 |
Ligi | Ligi Kuu Uingereza |
Funga