Chura
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kwa nyota angalia hapa Chura (nyota)
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Chura | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Chura-mafunjo (Hyperolius viridiflavus) | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
| ||||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||||
Nusuoda 3:
| ||||||||||||||||
Funga
Vyura ni wanyama wa ngeli Amphibia wanaoanza maisha yao ndani ya maji na baada ya kupita metamofosi wanaendelea kuishi kwenye nchi kavu, isipokuwa vyura-kucha ambao huishi majini maisha yao yote.