Dennis Kipruto Kimetto
From Wikipedia, the free encyclopedia
Dennis Kipruto Kimetto (alizaliwa 22 Januari 1984) ni mwanariadha wa masafa mrefu wa Kenya ambaye hukimbia katika mashindano ya kukimbia barabarani. Kimetto alikuwa na rekodi ya ulimwengu kwa marathoni ya wanaume na wakati ya 2:02:57. Yeye alikuwa na rekodi hiyo mpaka Eliud Kipchoge alipovunja rekodi mwaka wa 2018.