Dvina ya Kaskazini
From Wikipedia, the free encyclopedia
Dvina ya Kaskazini (kwa Kirusi: Се́верная Двина́) ni mto mkubwa katika kaskazini ya Urusi unaopitia Vologda Oblast na Arkhangelsk Oblast ukiishia katika Hori ya Dvina ya Bahari Nyeupe.
Matawimto makuu ni Vychegda (kulia), Vaga (kushoto), na Pinega (kulia).