Greenland
From Wikipedia, the free encyclopedia
Greenland (kwa Kiswahili Grinilandi pia; kwa Kikalaallisut: Kalaallit Nunaat = Nchi ya Wagreenland) ni nchi ya kujitawala chini ya ufalme wa Denmark lakini haihesabiwi kuwa sehemu ya Denmark yenyewe.
Ukweli wa haraka
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: | |||||
Wimbo wa taifa: Nunarput utoqqarsuanngoravit Nuna asiilasooq | |||||
Mji mkuu | Nuuk (Godthåb) 64°10′ N 51°43′ W | ||||
Mji mkubwa nchini | Nuuk (Godthåb) | ||||
Lugha rasmi | {{{official_languages}}} | ||||
Serikali | Demokrasia (serikali ya kibunge ndani ya ufalme wa kikatiba) Frederik X wa Denmark Múte Bourup Egede 2021 | ||||
Eneo la kujitawala Kujitawala |
1979 na zaidi 2009 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
2,166,086 km² (ya 12) 83.1a | ||||
Idadi ya watu - Machi 2022 kadirio - Msongamano wa watu |
56,583 (ya 210) 0.028/km² (ya 244) | ||||
Fedha | Krone ya Denmark (DKK ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC0 to -4) (UTC) | ||||
Intaneti TLD | .gl | ||||
Kodi ya simu | +299
- | ||||
a As of 2000: 410,449 km² (158,433 sq. miles) ice-free; 1,755,637 km² (677,676 sq. miles) ice-covered. b 2001 estimate. |
Funga
Eneo la Greenland ni kubwa, lakini idadi ya wakazi ni ndogo sana kwa sababu sehemu kubwa ya nchi (75%) imefunikwa na ganda nene la barafu.