Jibuti (kwa Kiarabu جيبوتي) ni mji mkuu na mji mkubwa nchini Jibuti ukiwa na wakazi 400,000.
Ukweli wa haraka Nchi ...
Funga
Mji wenyewe uko kwenye rasi inayogawa Ghuba ya Aden kutoka Ghuba ya Tadjoura. Yenyewe iko 11°36' kaskazini, 43°10' mashariki (11.60, 43.1667).