Karne ya 15
karne / From Wikipedia, the free encyclopedia
Karne ya 15 ilikuwa kipindi cha miaka mia moja kati ya 1401 hadi 1500. Kikamilifu kilianza tar. 1 Januari 1401 na kuishia 31 Desemba 1500. Namba zake zinafuata hesabu ya miaka "baada ya Kristo".
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 13 |
Karne ya 14 |
Karne ya 15
| Karne ya 16
| Karne ya 17
| ►
Miaka ya 1400 |
Miaka ya 1410 |
Miaka ya 1420 |
Miaka ya 1430 |
Miaka ya 1440 |
Miaka ya 1450 |
Miaka ya 1460 |
Miaka ya 1470 |
Miaka ya 1480 |
Miaka ya 1490
Kama kila "karne" ni kipindi kinachohesabiwa kwa hiari ya kibinadamu kwa sababu ni mgawanyo wa kalenda tu - hali halisi maendeleo na mabadiiliko makubwa hayafuati migawanyo ya kalenda ya kibinadamu.
Kuna mambo mengi yaliyotokea wakati wa karne hii.