Majimbo ya Rio de la Plata
From Wikipedia, the free encyclopedia
Majimbo ya Rio Plata yalikuwa dola tangulizi la nchi za kisasa za Argentina, Bolivia, Paraguay na Uruguay. Maeneo yake yaliwahi kuunganishwa katika ufalme mdogo au jimbo kuu la La Plata ndani ya milki ya Hispania, lenye mji mkuu katika Buenos Aires.
Ukweli wa haraka
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: | |||||
Wimbo wa taifa: ' | |||||
Mji mkuu | Buenos Aires (1810–1820; 1826–1827) °′ °′ | ||||
Mji mkubwa nchini | {{{largest_city}}} | ||||
Lugha rasmi | {{{official_languages}}} | ||||
Serikali {{{leader_titles}}} |
{{{leader_names}}} | ||||
{{{sovereignty_type}}} {{{established_events}}} |
{{{established_dates}}} | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
[[{{{area_magnitude}}} m²|{{{area}}} km²]] ({{{area_rank}}}) {{{percent_water}}} | ||||
Idadi ya watu - [[{{{population_estimate_year}}}]] kadirio - Msongamano wa watu |
{{{population_estimate}}} ({{{population_estimate_rank}}}) {{{population_density}}}/km² ({{{population_density_rank}}}) | ||||
Fedha |
{{{currency_code}}} ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
{{{time_zone}}} (UTC{{{utc_offset}}}) {{{time_zone_DST}}} (UTC{{{utc_offset_DST}}}) | ||||
Intaneti TLD | {{{cctld}}} | ||||
Kodi ya simu | +{{{calling_code}}}
- |
Funga
Jina limetokana na mto Rio de la Plata ambao ni mto mkuu wa Amerika Kusini upande wa kusini wa mto Amazonas.