Manabii Wadogo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Manabii Wadogo (kwa Kiebrania תרי עשר, Trei Asar, "Thenashara") ni kimojawapo kati ya vitabu 16 vya kinabii vya Biblia ya Kiebrania.
Katika Biblia ya Kikristo kila nabii anahesabiwa peke yake, hivyo vitabu ni 12, kama ifuatavyo:
Wanaitwa wadogo kutokana na ufupi wa vitabu vyao, ambavyo vinavyochukua sura 1 hadi 14 tu, bila ya kumaanisha umuhimu wao ni mdogo.