Martinique
département ya Ufaransa / From Wikipedia, the free encyclopedia
Martinique (kwa Kifaransa; kwa Krioli: "Matinik" au "Matnik") ni kisiwa cha Antili Ndogo katika Bahari ya Karibi. Ni eneo la ng'ambo la Ufaransa na mkoa (departement) wa Ufaransa. Hivyo ni sehemu ya Umoja wa Ulaya.
Ukweli wa haraka Nchi, Mji mkuu ...
Martinique | |||
| |||
Nchi | Ufaransa | ||
---|---|---|---|
Mji mkuu | Fort-de-France | ||
Eneo | |||
- Jumla | 1,128 km² | ||
Idadi ya wakazi (2016) | |||
- Wakazi kwa ujumla | 376,480 | ||
Tovuti: http://www.cr-martinique.fr/ |
Funga
Eneo lake ni km² 1,128.
Makao makuu ni Fort-de-France. Miji mingine ni pamoja na Sainte-Anne na St. Pierre (iliyoharibiwa na mlipuko wa volkeno ya Mont Pelee mwaka 1902).