Mkoa wa Kastamonu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kastamonu ni mkoa uliopo nchini Uturuki. Upo katika Kanda ya Bahari Nyeusi , kaskazini mwa nchi. Umezungukwa na Sinop upande wa mashariki, Bartın na Karabük upande wa magharibi, Çankırı upande wa kusini, Çorum upande wa kusini-mashariki na Bahari Nyeusi upande wa kaskazini.
Ukweli wa haraka Maeneo ya Mkoa wa Kastamonu nchini Uturuki, Maelezo ...
Mkoa wa Kastamonu | |
---|---|
Maeneo ya Mkoa wa Kastamonu nchini Uturuki | |
Maelezo | |
Kanda: | Kanda ya Bahari Nyeusi |
Eneo: | 13,108 (km²) |
Idadi ya Wakazi | 322,759 TUIK 2007 (est) |
Kodi ya Leseni: | 37 |
Kodi ya eneo: | 0366 |
Tovuti ya Gavana | http://www.kastamonu.gov.tr |
Utabiri wa hali ya hewa | turkeyforecast.com/weather/kastamonu |
Funga