Muhindi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Muhindi (pia: mhindi) ni mmea wa familia ya nyasi katika ngeli ya monokotiledoni. Mbegu za mhindi ni mahindi ambayo ni chakula muhimu katika sehemu nyingi za dunia pamoja na Afrika ya Mashariki na Afrika ya Kusini.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Muhindi (mhindi) (Zea mays subsp. mays) | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mihindi | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Funga