New Delhi
From Wikipedia, the free encyclopedia
New Delhi (yaani Delhi Mpya; kwa Kihindi: |नई दिल्ली, kwa Kiurdu: نئی دلی) ni mji mkuu wa Uhindi na kitovu cha jiji kubwa la Delhi. Pamoja na Delhi yote kuna wakazi zaidi ya milioni kumi.
Ukweli wa haraka Nchi ...
Jiji la New Delhi | |
Mahali pa New Delhi katika Uhindi |
|
Majiranukta: 28°40′0″N 77°13′0″E | |
Nchi | Uhindi |
---|---|
Tovuti: http://www.ndmc.gov.in/ |
Funga