Nyanda za juu za Yunnan–Guizhou
From Wikipedia, the free encyclopedia
Nyanda za juu za Yunnan-Guizhou ni eneo katika kusini magharibi ya China. Kanda hii inaenea hasa katika majimbo ya Yunnan na Guizhou.
Upande wa kusini tabia yake ni zaidi kama tambarare ya juu lakini kaskazini kuna milima. Kwa jumla zinapakana na nyanda za juu za Tibet upande wa magharibi-kaskazini.