Swala
From Wikipedia, the free encyclopedia
Swala ni wanyama walao nyasi katika nusufamilia Antilopinae, Aepycerotinae na Pantholopinae za familia Bovidae. Hupatikana katika maeneo yenye nyasi fupi fupi na vichaka vifupi fupi hasa kwenye maeneo mengi ya hifadhi katika Afrika. Spishi nyingine hukimbia kilometa 80 kwa saa na zina uwezo wa kuruka mita 7 hadi 8 juu akiwa kwenye kasi. Rangi yao ni ya mchanga na nyeupe kidogo kwenye koromeo na sehemu ya chini ya mkia. Maadui yao wakubwa ni simba, chatu na chui.
- Kwa swala kama ibada ya Kiislamu, taz. Swalah.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Swala | ||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Swala tomi (Eudorcas thomsonii) | ||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||
| ||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||
Nusufamilia 3, jenasi 12:
| ||||||||||||
Funga