Tarantula
From Wikipedia, the free encyclopedia
Tarantula ni spishi za buibui katika familia Theraphosidae wa nusuoda Opisthothelae. Spishi za nusufamilia Harpactirinae huitwa bui-nyani. Spishi nyingi ni kubwa hadi kubwa sana na zote zina manyoya marefu mengi. Kwa kawaida huwinda kwa kuvamia mawindo.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Tarantula | ||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Tarantula-miti (Encyocratella olivacea) | ||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||
| ||||||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||||||
Nusufamilia 15:
| ||||||||||||||||||
Funga