TennoFrom Wikipedia, the free encyclopedia Tenno ni cheo cha mfalme au kaisari wa Japani. Kufuatana na katiba ya nchi yeye ni "ishara wa dola na wa umoja wa taifa". Tenno Naruhito. Tenno wa sasa ni Naruhito (tangu mwaka 2019, alipomrithi baba yake).
Tenno ni cheo cha mfalme au kaisari wa Japani. Kufuatana na katiba ya nchi yeye ni "ishara wa dola na wa umoja wa taifa". Tenno Naruhito. Tenno wa sasa ni Naruhito (tangu mwaka 2019, alipomrithi baba yake).