Ukahaba
From Wikipedia, the free encyclopedia
Ukahaba (kutoka Kiarabu: قحبه qahabatun = malaya) ni tabia au tendo la kufanya ngono nje ya ndoa au uhusiano mwingine unaokubalika katika jamii, tena na watu mbalimbali na kwa malipo. Mtendaji anayepokea malipo huitwa kahaba, changudoa au malaya; washiriki wanaotoa malipo huitwa wateja.
Kama ukahaba unaendeshwa katika nyumba maalumu mahali hapo panaitwa danguro.