Yakutia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Jamhuri ya Sakha (Yakutia) (kwa Kirusi: Республика Саха (Якутия)) ni jina la mkoa ulioko nchini Russia, katika sehemu yake ya Asia inayoitwa Siberia.
Yakutia ina eneo la km² 3.083.523 (mara tatu eneo la Tanzania) lakini idadi ya wakazi ni 958.528 pekee (sensa ya 2010).