Mario Pašalić
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mario Pašalić (alizaliwa 9 Februari 1995) ni mchezaji wa soka wa Kroatia ambaye anacheza kama kiungo wa klabu ya Atalanta, kwa mkopo kutoka klabu ya Ligi Kuu ya Uingereza ya Chelsea F.C., na timu ya taifa ya KroATia.