Mkoa wa Matam
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mkoa wa Matam ni mkoa mmojawapo nchini Senegal. Makao makuu yako mjini Matam . Eneo la mkoa ni kilomita za mraba 29,445. Wakati wa sensa ya mwaka 2013 mkoa ulikuwa na wakazi 562,539.[1]
Mkoa wa Matam ni mkoa mmojawapo nchini Senegal. Makao makuu yako mjini Matam . Eneo la mkoa ni kilomita za mraba 29,445. Wakati wa sensa ya mwaka 2013 mkoa ulikuwa na wakazi 562,539.[1]