Petro Zhou Rixin
From Wikipedia, the free encyclopedia
Petro Zhou Rixin (Zhujiahe, 1881 hivi - Loujiazhuang 20 Julai 1900) alikuwa kijana mlei wa China aliyefia Ukristo kwa kukatwa kichwa wakati wa Uasi wa Waboksa kwa sababu mbele ya gavana, aliyemhimiza sana kumkana Muumba wa mbingu na dunia, alikataa katakata[1].
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.
Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe tarehe 20 Julai[2].