Popo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Popo ni mamalia kama panya wenye mabawa.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Popo | ||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Popo-masikio wa Townsend (Corynorhinus townsendii) | ||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||
| ||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||
Nusuoda 2:
| ||||||||||
Funga
Spishi zake nyingi sana hula wadudu: hizi zimo katika nusuoda Yangochiroptera.
Spishi kubwa za nusuoda hii hula ndege, mijusi, vyura na hata samaki.
Spishi chache za popo wanyonya-damu huko Amerika ya Kusini hula damu ya mamalia au ndege.
Familia Pteropodidae ya nusuoda Yinpterochiroptera ina spishi kubwa hadi ukubwa wa paka na uzito wa kilogramu moja; urefu wa mabawa pamoja unaweza kufikia sentimita 150. Spishi hizi hula matunda.