Réunion
département ya Ufaransa / From Wikipedia, the free encyclopedia
Réunion (kwa Kifaransa: La Réunion) ni kisiwa cha Afrika na mkoa wa ng'ambo wa Ufaransa (kwa Kifaransa: département d'outre-mer, au DOM) katika Bahari Hindi. Kisheria hali yake ni sawa na mikoa mingine ya Ufaransa hivyo ni pia sehemu ya Umoja wa Ulaya.
Région Réunion | |
---|---|
Jina la Kifaransa | Région Réunion |
Jina la kawaida | Reunion |
Mji Mkuu | Saint-Denis |
Eneo | 2,512 km² |
Mkuu wa Mkoa | Didier Robert (UMP) (tangu 2016) |
Idadi ya wakazi | 706,300 |
Sensa ya mwaka | 1999 |
Wakazi kwa km² | 309 |
Wilaya (arrondissements) | 4 |
Ramani Reunion na Ufaransa bara | |