Saint-Denis (Reunion)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Saint-Denis (au Saint-Denis de la Réunion) ni mji mkuu wa eneo la ng’ambo la Ufaransa (kwa Kifaransa: "département d'outre-mer") la Réunion ambayo ni kisiwa kimojawapo cha funguvisiwa la Maskarena katika Bahari Hindi.
Ukweli wa haraka Nchi, - Wakazi kwa ujumla ...
Saint-Denis | |||
| |||
Majiranukta: 20°52′44″S 55°26′53″E | |||
Nchi | Réunion | ||
---|---|---|---|
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 197,464 | ||
Tovuti: www.saintdenis.re |
Funga
Saint-Denis ni pia mji mkubwa wa kisiwa ukiwa na wakazi 131,557 (mwaka 1999).