Swala ya Ijumaa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Swala ya Ijumaa (kwa Kiarabu صَلَاة ٱلْجُمُع) ni sala ya kila wiki ya Waislamu inayofanyika kila Ijumaa wakati wa Adhuhuri katika kipindi cha Swala ya Dhuhri.
Sehemu ya mfululizo wa makala juu ya |
Imani na ibada zake |
Umoja wa Mungu |
Waislamu muhimu |
Abu Bakr • Ali |
Maandiko na Sheria |
Qur'an • Sunnah • Hadithi |
Historia ya Uislamu |
Historia |
Tamaduni za Kiislamu |
Shule • Madrasa |
Tazama pia |
Uislamu na dini nyingine |
Kwa kawaida, Waislamu hufanya swala katika vipindi vitano vya siku hii ikiendana kabisa na mwendo wa jua kulingana na eneo husika.[1]