Bundi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Bundi ni oda ya ndege walanyama (mbuai) wanaowinda mara nyingi saa za usiku hasa wakati wa giza.
Ndani yake kuna familia mbili:
Baadhi ya jamii chache zimekuwa zikihusisha bundi na ushirikina [1] ama uchawi, hivyo kutia wengi mashaka, hasa wanaposikia sauti ya ndege huyo. Pia bundi wamebeba 14 invertebrate ambayo ni misuli ya shingo inayosaidia kuzungusha kichwa chake 270' mamake anauwezo wa kuangalia vitu vilivyopo nyuma yake bila kugeuza mwili Pya ni ndege wasiosikia kwani wamebeba upright feathers zinazomwezesha kusikia vitu mbalimbali