Chuo Kikuu cha York
From Wikipedia, the free encyclopedia
Chuo Kikuu cha York ni chuo kikuu cha mji wa York katika Uingereza. Chuo hiki kilianzishwa mwaka 1963. Kuna zaidi ya idara 30 zinazofundisha fani nyingi. York ni maarufu hasa kwa utafiti wa kisayansi katika utathmini wa mwaka 2008 chuo hiki kiltajwa kuwa na nafasi ya 6 kati ya taasisi za uchunguzi wa kisayansi katika Ufalme wa Maungano.[1]
Ukweli wa haraka Staff, Wanafunzi ...
Chuo Kikuu cha York | |
---|---|
Staff | 3,082 |
Wanafunzi | 13,270 |
Wanafunzi wa shahada ya kwanza | 9,105 |
Wanafunzi wa uzamili | 4,165 |
Mahali | {{{mji}}} |
Sports | BUSA |
Funga