Emirates
From Wikipedia, the free encyclopedia
Emirates ni ndege kuu katika bara la Arabu, iliyo chini ya kampuni ya The Emirates Group. Ni ndege ya kitaifa iliyo mjini Dubai, miliki za kiarabuUnited Arab Emirates na inahudumu takriban wasafiri 2200 kila wiki[1] kutoka kwa kituo chake cha Uwanja wa ndege wa kimataifa ya Dubai, Terminal 3 hadi nchi 55 na kwenye bara sita.[2] Emirates iko chini ya The Emirates Group, ambayo ina waajiriwa zaidi ya 40,000, na inayomilikiwa na serikali ya Dubai.
Ndege hii iko kwenye ndege kumi bora kulingana na mauzo, wasafiri na kilomita.[3]