Hermann von Wissmann
From Wikipedia, the free encyclopedia
Hermann von Wissmann (* 4 Septemba 1853 kwa jina kamili Hermann Wilhelm Leopold Ludwig Wissmann mjini Frankfurt (Oder); † 15 Juni 1905 katika Austria) alikuwa Mjerumani aliyejulikana kama mpelelezi wa Afrika, mwanajeshi na gavana wa pili wa Afrika ya Mashariki ya Kijerumani kati ya 26 Aprili 1895 hadi 3 Desemba 1896. Aliongoza jeshi la Kijerumani lililokandamiza vita ya Abushiri mwaka 1889.
Ukweli wa haraka Uendo, Ukoloni ...
Funga