Kampeni za Kivita katika Afrika ya Mashariki (Vita ya Kwanza ya Dunia)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kampeni za Afrika ya Mashariki zilikuwa mfululizo wa mapigano ya kivita yaliyotokea Afrika ya Mashariki ya Kijerumani (Tanganyika, Rwanda na Burundi ya leo) na makoloni jirani ya Msumbiji, Rhodesia ya Kaskazini (Zambia), Afrika ya Mashariki ya Kiingereza (Kenya), Uganda, na Kongo ya Kibelgiji. Kampeni hizi zilianza mwezi wa Agosti 1914 zikaisha rasmi mnamo mwezi wa Novemba katika mwaka wa 1918.[1]
Ukweli wa haraka Uendo, Ukoloni ...
Funga