Kariakoo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kariakoo ni kata ya wilaya ya Ilala katika Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania, yenye postikodi namba 11106.
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Kata ya Kariakoo | |
Mahali pa Kariakoo katika Tanzania |
|
Majiranukta: 6°49′26″S 39°14′56″E | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Mkoa | Dar es Salaam |
Wilaya | Ilala |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 10,246 |
Funga
Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 10,246 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 13,780 waishio humo.[2]
Kariakoo inajulikana kutokana na soko kubwa.