Kibarabara
From Wikipedia, the free encyclopedia
Vibarabara au bendera ni ndege wadogo wa familia ya Emberizidae. Wana domo fupi na nene lifaalo kula mbegu. Kichwa chao kina bombwe bainifu kwa kawaida. Vibarabara wanatokea Afrika, Asia na Ulaya. Spishi nyingine za familia hii zinatokea Amerika. Vibarabara hula mbegu lakini hulisha makinda wadudu. Hulijenga tago lao kwa manyasi na nyuzinyuzi ardhini au katika kichaka kifupi. Jike huyataga mayai 3-5.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Kibarabara | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Kibarabara-kaya | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
| ||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||
Spishi 43; 17 katika Afrika:
| ||||||||||||||
Funga