Kikokoteo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kikokoteo ni rula yenye kikokoto iliyotumika kama nyenzo ya kufanya hisabati hususani katika kuzidisha na kugawanya na kutafuta vipeo na vipeuokabla ya ujio na uendelezaji wa matumizi makubwa ya Vikokoteo vya kielektroniki kuanzia mwaka 1974 [1] Rula hizi zilitengenezwa kwa maumbo na vipimo anuwai kutegemeana na fani husika kama vile kutumika katika hisabati, uhasibu, uongozaji wa ndege, uhandisi n.k
Kikokoteo kilivumbuliwa na William Oughtred na wenzake katika karne ya 17 kutokana na kazi za hisabati za John Napier.