Mali
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mali (kwa Kifaransa: République du Mali = Jamhuri ya Mali) ni nchi ya Afrika ya Magharibi.
Ukweli wa haraka
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: Taifa moja, Lengo moja, Imani moja (Kifaransa: Un peuple, un but, une foi) | |||||
Wimbo wa taifa: Pour l'Afrique et pour toi, Mali (Kwa Afrika na kwako, Mali) | |||||
Mji mkuu | Bamako 12°39′ N 8°0′ W | ||||
Mji mkubwa nchini | Bamako | ||||
Lugha rasmi | Kibambara na nyingine 12[1] | ||||
Serikali Rais Waziri Mkuu |
Jamhuri Assimi Goïta Choguel Kokalla Maïga | ||||
Uhuru Tarehe |
kutoka Ufaransa 22 Septemba 1960 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
1,240,192 km² (ya 23) 1.6% | ||||
Idadi ya watu - 2022 kadirio - 2018 sensa - Msongamano wa watu |
21,473,764 (ya 60) 19,329,841 11.7/km² (ya 215) | ||||
Fedha | CFA franc (XOF ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC0) (UTC+1) | ||||
Intaneti TLD | .ml | ||||
Kodi ya simu | +223
- |
Funga
Imepakana na Algeria, Mauritania, Niger, Burkina Faso, Cote d'Ivoire na Senegal. Mali haina pwani kwenye bahari yoyote.
Sehemu ya juu ni mlima Hombori Tondo (mita 1155 juu ya UB) ulioko katikati ya nchi.
Upande wa Kaskazini sehemu kubwa ya eneo la Mali ni jangwa la Sahara.
Wakazi walio wengi huishi kusini, karibu na mito Senegal na Niger.