Ngamia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Ngamia ni wanyama wakubwa wa jenasi Camelus katika familia Camelidae inayowajumlisha pamoja na lama na vikunya wa Amerika Kusini.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Ngamia | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Ngamia nundu-moja (Camelus dromedarius) | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
| ||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||
Spishi 2:
| ||||||||||||||
Funga