Rekodi za Dunia za Guinness
From Wikipedia, the free encyclopedia
Guinness World Records (iliyojulikana hadi mwaka wa 2000 kama The Guinness Books of World Records na kwa matoleo yaliyotangulia Marekani, kama The Guinness Book of World Records), ni kitabu cha marejeleo kinachochapishwa kila mwaka na ni mkusanyo wa rekodi za dunia za mafanikio ya binadamu pamoja na maajabu ya ulimwengu asili. Kitabu chenyewe kinashikilia rekodi ya dunia kama mfululizo wa kitabu cha nakala iliyohifadhiwa kilicho na mauzo ya juu zaidi. [1] Pia ni mojawapo ya vitabu ambavyo huibiwa sana kutoka maktaba ya umma katika Marekani. [2]
Ukweli wa haraka Guinness World Records, Mwandishi (wa) ...
Guinness World Records | |
---|---|
Guiness2010.JPG | |
Mwandishi (wa) | {{{mwandishi}}} |
ISBN | ISBN: |
Funga