Western Stima
From Wikipedia, the free encyclopedia
Western Stima Football Club ni kilabu cha soka nchini Kenya kilicho na makao mjini Kakamega. Kilabu hiki huchezea mechi zao za nyumbani katika uwanja wa Bukhungu Stadium, na pia katika uwanja wa Moi Stadium mjini Kisumu[1] - viwanja vyote vikiwa na uwezo wa kukimu mashabiki elfu tano. Western Stima kwa sasa inacheza katika Ligi Kuu ya Kandanda ya Kenya.