Artemi na Paulina
From Wikipedia, the free encyclopedia
Artemi na Paulina ni Wakristo waliouawa mwaka 304 kwa ajili ya imani yao mjini Roma[1].
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.
Artemi na Paulina ni Wakristo waliouawa mwaka 304 kwa ajili ya imani yao mjini Roma[1].
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.