Konstantinos Filippidis
From Wikipedia, the free encyclopedia
Konstantinos Filippidis (kwa Kigiriki: Κωνσταντίνος Φιλιππίδης; alizaliwa Athene, novemba 1986) ni mruka upondo wa Ugiriki. Alishinda medali ya dhahabu kwenye michuano ya ndani ya dunia 2014 na medali ya fedha kwenye michuano ya ulaya 2017.alishika nafasi ya sita kwenye michezo ya olimpiki 2012 huko London.