Uislamu nchini Bangladesh
From Wikipedia, the free encyclopedia
Uislamu nchini Bangladesh ni dini kubwa na rasmi nchini Bangladesh.[1][2] Ina Waislamu wapatao milioni 146, inaifanya kuwa nchi ya nne duniani kwa wingi wa Waislamu baada ya Indonesia, Pakistan, na India.
Uislamu kwa nchi | ||||
|