Uislamu nchini Mozambique
From Wikipedia, the free encyclopedia
Uislamu nchini Mozambique ni dini inayokadiriwa kuwa na wafuasi wakifikiao asilimia 17.9 ya wakazi wote wa nchini humo.[1]
Uislamu kwa nchi | ||||
|
Sehemu kubwa ya Waislamu wa Mozambique ni wale wa dhehebu la Sunni wanaofuata mafundisho ya imamu Shafi, japokuwa kuna Waislamu wachache wa dhehebu la Shia ambao pia wamejisajili.
Waislamu nchini wanajumuishwa na Wamozambique wenyewe, raia wenye asili ya Asia Kusini (Wahindi na Wapakistani), na idadi ndogo kabisa ya wahamiaji wa Afrika Kaskazini na Mashariki ya Kati.