Uislamu nchini Guinea-Bissau
From Wikipedia, the free encyclopedia
Uislamu nchini Guinea-Bissau ni moja kati ya dini kubwa nchini humo, imekadiriwa kufikia asilimia 50[1] za wakazi wake ambapo kwa harakaharaka ni kama milioni 1.4 ya raia wa huko ni wafuasi wa dini ya Kiislamu.
Uislamu kwa nchi | ||||
|
Sehemu kubwa ya Waislamu wa Bissau ni dhehebu la Sunni wanaofuata mafunzo ya Maliki, yenye athira ya Usufi. Imekadiriwa asilimia 6 kuwa ni Shia na asilimia 2 ni Ahmadiyya nao pia wamo.[2]