Uislamu nchini Mauritania
From Wikipedia, the free encyclopedia
Uislamu nchini Mauritania ndiyo dini inayoongoza. Kwa ujumla watu wa Mauritania wote ni Waislamu wa dhehebu la Sunni wanaofuata mafundisho ya Maliki.
Uislamu kwa nchi | ||||
|
Tangu uhuru mnamo 1960, Mauritania imekuwa jamhuri ya Kiislamu.
Toleo la Katiba la 1985 linataja kuwa ni nchi ya Kiislamu na wanafuata sharia za Kiislamu katika kuongoza serikali.